Dimond Are Forever show.
 Mkurugenzi wa Prime Time Promotions, Juhyna Kusaga (kati) na mdogo wake.
 Bendi ya Odama ikitumbuiza katika usiku wa Diamond Are Forever.
Wageni waalikwa.
 ...Mazungumzo ya hapa na pale yanaendelea.
 Mkurugenzi wa Prime Time Promotions, Juhyna Kusaga (wa nne kulia) akiwa na marafiki zake na wageni waalikwa.
...Furanana vicheko vya hapa na pale.
 ...Marafiki wakipata picha
 ...raha, watu wakishow love
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

8 comments:

  1. Show ilikuwa babukubwa big up sana kwa Diamond it was 1dafull

    ReplyDelete
  2. Kha! Huyo adam mchomvu ameshinwaje kuweka hiyo mifupa kwenye sahani anaweka kwa kitambaa mezani.

    ReplyDelete
  3. Mwana umeamua kuwa na blog ya udaku!!!!!!!!!!! mbaya sana.

    ReplyDelete
  4. WALA C MPI POLE WEMA AMEJITAKIA BANA.. NA HAO WADADA WAKUBWA KUMRUSHA ROHO WEMA MTOTO WAJUZI OVYOOO.. HUWA TUNAWAITA MAKUBWA JINGA YAPO YAPO TU MJINI

    ReplyDelete
  5. Pole bidada diamond needs the green money yaani dollar.Next time jaribu kuumpa kijani kibichi.

    ReplyDelete
  6. Hao wapambe hawana lolote UNAFIKI TU unawasumbua, Wema wala hajakosea kumtunza diamond anaonyesha she is jst considering him as her past n now she is focusing on his future

    ReplyDelete
  7. Hao wapambe hawana lolote UNAFIKI TU unawasumbua Wema wala hajakosea kumtunza diamond anaonyesha she is jst considering him as her past n now she is focusing on his future

    ReplyDelete
  8. Hee hao wengine nao kina Mange ni ushambenga tu..nini sasa kumsapoti kiujinga huyo Wema. Eti amuombe masamaha kwani lazima achukue pesa yake bwana. Na huyo Adamu mchovu aache ushamba bwana manake anajifanyaga brazameni kumbe ni mshamba tuu too ghetto!!

    ReplyDelete