Mkurugenzi wa Caribbean Beat Entertainment Benji Cosmo (katikati) akiongea na waandishi wa habari juu ya tamasha la kumuenzi hayati Bob Marley linalotarajiwa kufanyika jumamosi ya wiki hii katika Viwanja Posta jijini Dar es Salaam. Kutoka kulia ni Ras Magere ambaye ni kiongozi wa 'The Warrios Band', Ras Inno anayewakilisha 'The Inocent People Band',  Jhikoman pamoja na Jonson.
Ras Inno ambaye ni kiongozi wa 'The Inocent People Band' akiwahakikishia waandishi wa habari kushiriki katika tamasha hilo.
Ras Six almaarufu kama Six Dozen wa 'Tunaweza Band' akiwakilisha band.
Kikosi cha 'The Warrios Band' kutoka Arusha wakitoa burudani mbele ya waandishi wa habari.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: