Mchekeshaji wa maarufu nchini kutoka kundi la Vuvuzela Entertainment, Evans Bukuku akifanya vitu vyake ndani ya kiota cha Nyumbani Lounge jijini Dar es Salaam.
 Baadhi ya wageni waliojitokeza kushuhudia.
 ...aha... aha wengine waliamua kuweka kumbukumbu.
Kila mmoja alikuwa na furaha.
 ...yani wewe hapa ni kazi tu
 ...wakifuatilia kwa ukaribu.

 Mchekeshaji wa maarufu nchini kutoka kundi la Vuvuzela Entertainment, Evans Bukuku akiwa katika sura ya kazi.
Mambo yakihifadhiwa.
Mchekeshaji wa maarufu nchini kutoka kundi la Vuvuzela Entertainment, Evans Bukuku akiwa pamoja na Enika wa kundi hilo wakionyesha maujuzi yao ya kuimba.
Kajunason Blog

Kajunason Blog

A Tanzanian blog operating since October 2007, covering Local News, Politics, Fashion, Social Scenes, Interviews, Movies, Events, personalities and anything positive happening worldwide. Written in Swahili and English targeting both Swahili and English readers / viewers.

Toa Maoni Yako:

0 comments: